Skip to main content

LIJUE TATIZO LA KUKOSA CHOO

JE UNALIJUAA TATIZO LA KUKOSA CHOO
Tatizo la kukosa choo (CONSTIPATION) ni tatizo ambalo limekuwa likiwakumba watu wengi leo ktk dunia, watu wamekuwa wakiteseka bila kujua nini chanzo cha tatizo hili na vipi kuliondoa tatizo hili na wengine wamekuwa wakilipuuzia bila kujua madhara ambayo wanaweza kuyapata kutokana na tatizo hili.Tatizo hili.Tatizo hili hutokea pale mtu anakula vizuri lakini unakata anakaa siku tatu hadi nne bila kupata choo ukiona unakula kutwa mara tatu na unakaa siku mbili hadi tatu huendi chooni au unatoa choo kigumu kama mbuzi hilo ni tatizo kwako.Tafiti zinaonyesha mtu anaweza kupoteza maisha kama atakosa choo kwa siku tano hadi saba mfululizo.Watu wengi hulidharau tatizo hili lakini linamadhara makubwa tofauti na wanavyofikiria.

Image result for constipation

SABABU ZA KUKOSA CHOO (CONSTIPATION)
a) Kupenda kula saana vyakula vilivyokobolewa (mfano ugali wa sembe,mikate n.k)
b) Ukosefu wa mbogamboga za majani na matunda ya faiba kama machungwa,ukosefu wa kula mboga za majani na matunda hasa ya faiba kama machungwa huongeza tatizo hili.kila mtu anatakiwa kula matunda aina mbili na mboga za majani aina mbili kila siku,
c)Matumizi makubwa ya pombe na sigara
d) Unywaji mdogo wa maji.kila mtu anapaswa kunywa maji kwa kiwango cha chini lita 3 kila siku na usinywe maji wakati unakula,kunywa maji nusu saa kabla au baada ya kula.
e) Matumizi mabaya ya madawa.mfano dawa za presha,aleji n,k
f)Kuugua kisukari au ugonjwa wa misuli
g) Kansa ya utumbo mpana

MADHARA YATOKANAYO NA KUKOSA CHOO (CONSTIPATION)
a) Unaweza kuugua saratani ya utumbo mpana
b) Unaweza kupata tatizo la tumbo kujaa gesi
c) Figo yako inaweza isifanye kazi vizuri ikafelid
d) Unawezasababisha magonjwa ya moyo
e) Unaweza pata tatizo la kukakamaa mishipa ya damu ambapo f) utasababisha miguu kuwaka moto na ganzi miguuni au mikononi.
g) Unawezasababisha magonjwa ya ini
h) Unawezapata kisukari
i) Unawezapata presha
Wahi sasa mapema tatizo hilo linatibika na unapona kabisa ukikaa nalo linaweza kukusababishia matatizo makubwa kwenye afya.
Wasiliana nami .
BIDHAA  ZITAKUFIKIA POPOTE ULIPO UNAWEZA TUMA SMS MOJA KWA MOJA
CALL. +255621746838
TEXT/WHATSAPP. +255767962720

Comments

Popular posts from this blog

MKE MWEMA MTU HUPEWA NA BWANA. SIFA ZA MKE MWEMA

SIFA ZA MKE MWEMA 1) Kamwe usinyanyue sauti yako kwa mumeo kwa sababu yoyote ile. Hiyo ni ishara kuwa huna adabu na heshima. Pia niliwahi kufundisha hapa Ndoa Maridhawa kuwa radi haioteshi mazao yetu shambani licha ya kuwa na kelele na sauti kubwa, lakini mvua ambayo haina makelele huotesha mazao yetu shambani. 2) Usitangaze udhaifu wa mumeo kwa familia yako na marafiki zako. Linaweza kukuathiri wewe pia. Wewe ni mtunza siri wa mwenzako, na yeye ni mtunza siri wako. 3) Usitumie mihemko na hisia kali kuwasiliana na mumeo, hujui namna atakavyoitafsiri. Wanawake wenye mihemko iliyopitiliza hawawezi kuwa na ndoa yenye furaha. 4) Usimlinganishe mumeo na wanaume wengine, hujui undani wa maisha ya hao wengine. Ukiishambulia HADHI yake, upendo wake kwako utayeyuka. 5) Usiamiliane vibaya na marafiki wa mumeo kwa sababu tu huwapendi, mtu anayepaswa kuepukana nao ni mumeo. 6) Usisahay kuwa mumeo alikuoa wewe, hakumuoa huyo mfanyakazi wako wa ndani au mtu mwingine. Fany...

Vidokezo 10 vya kufurahia barbeque au pikiniki wakati wa ujauzito

Hapa kuna vidokezo kadhaa vya kufanya pikiniki au BBQ zifanyie kazi wakati ukiwa ni mjamzito 1. Jua ni vyakula vipi vya kuzuia ukiwa mjamzito. Bado unaweza kufurahiya vyakula vingi lakini vyakula muhimu vya msimu wa joto ambavyo unapaswa kujiepusha ni pamoja na: jibini laini lisilopikwa, kuponya nyama, mayonnaise ya nyumbani isipokuwa imetengenezwa na mayai makubwa ya simba (mayonesi iliyonunuliwa duka ni sawa), ice cream ya nyumbani isipokuwa imetengenezwa na mayai makubwa ya simba (tena, barafu-iliyonunuliwa duka ni sawa). 2. Angalia nyama iliyochongwa na samaki . Ni sawa kabisa kumdhihaki Burger kwenye barbeque wakati una mjamzito, lakini angalia ikiwa nyama imepikwa vizuri. Vinginevyo, unaweza kupata sumu ya chakula kutoka kwa bakteria. Angalia kuwa nyama iliyo katikati ni nyekundu na weka skewer kwenye sehemu nene ya nyama ili kuhakikisha juisi iko wazi. Na usijali kuhusu kumkosea mmiliki kwa kuangalia: ni muhimu wakati wewe ni mjamzito. Ikiwa utatengeneza barbeque yako m...
Start a journey to a slimmer, healthier you. This effective, easy-to-follow cleansing program will give you the tools you need to start transforming your body today. Over the next 9 days, you can expect to look better and feel better and begin to eliminate stored toxins that may be keeping you from absorbing the maximum nutrients in your food. You’ll also begin to feel lighter and more energized as you prove you can take control of your appetite and see your body begin to change. Welcome and congratulations for taking charge of your health. I salute you! Your transformation has just began. Am proud and excited for you!? Clean 9 (C9) is a 9 day cleansing phase which is part of the Fit programme from Forever Living Products (USA) which has been here since 1978 giving amazing, highly effective and internationally used health beauty and wellness solutions in over 160 countries worldwide. We give 100% guarantee to our clients as our products speak for themselves with highly recognize...